Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, May 18, 2012

KUELEKEA SAFARI YA MWISHO YA KIPENZI CHETU PATRICK MAFISANGO ALIVYOAAGWA LEO ASUBUHI


Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Shabaan Nditi, Juma Nyosso, na Bocco wakiwa wamebeba jeneza la mchezaji mwenzio Patrick Mafisango wakati likiingia katika viwanja vya TCC kwa ajili ya kuagwa kabla ya kusafirishwa kwenda kwao DRC Congo kwa ajili ya mazishi.







Taifa Stars wa kwanza kushoto ni kocha wa makipa, Juma Pondamali


Katikai Kim Poulsen kocha wa Stars, kushoto Msaidizi wake Sylvester Marsh na kulia Meneja Leopold Mukebezi




Azim Dewji kulia na Leonard Thadeo kushoto






Gwiji wa Simba, Abdallah Kibadeni kushoto na Uhuru Suleiman




Makocha wa Yanga, Freddy Felix Minziro na kocha wa makipa Mfaume Athumani wakiwa na beki wa zamani wa Yanga, Willy Martine 'Gari Kubwa' wa pili kutoka kushoto


Makumbi Juma katikati


Eric Sagala 'Cantona' katikati




Suleiman Matola kulia


Juma Nyosso kushoto na John Bocco 'Adebayor' kulia wakiwa wamebeba jeneza


Shabiki Mkongomani akidhibitiwa baada ya kupagawa alipoona jeneza la marehemu Mafisango


Amir Maftah aliyebeba msalaba na Mwinyi Kazimoto kashika picha






Nahodha wa Simba Juma Kaseja akisaidiwa baada ya kushindwa kujizuia na kuangua kilio kiasi cha kuishiwa nguvu


Kaseja ni huzuni na kilio




Jeneza la Patrick Mutesa Mafisango




Makamu Mwenyekiti wa Simba, Kaburu na Leslie Liunda kushoto








Kocha wa Simba, Milovan Cirkovick


Milovan kilio




Shabiki 'hayawani' la Yanga, maarufu kama J4 likicheka msibani


Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dk Fennella Mukangara (wa pili kutoka kushoto)akiingia Uwanja wa TCC




Dk Fenella na Thadeo wakijadiliana








Jamal Malinzi mwenye miwani










Ibada


Mchungaji Tito Kyame akiongoza ibada ya kumuombea marehemu


Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa akitoa rambirambi


Ofisa wa Push Mobile, mmoja wa wadhamini wa Simba akitoa rambirambi


Mwenyekiti wa Simba, ALhaj Ismail Aden Rage akitoa hotuba 




Wazee wenye busara wa Simba


Rage akimuinua Dk Fenella akahutubie


Athumani Tippo 'Zozzou'


Kiggi Makassy kulia


Clement Kahbuka kushoto na Athumani Jumapili Chama kulia
PICHA HABARI NA MATUKIO KWA HISANI YA http://www.shaffihdauda.com/ UNAWEZA MTEMBELEA UKAONA MENGI NDANI YAKE.


THANK YOU SO MUCH SHAFII NASUBIRI MENGI TOKA HUKO MAJUU

No comments:

Post a Comment